YANGA SC: HABARI MPYA LEO JUMATANO YA MAY 02-2018 - ALEX MWENDATZ

Breaking

Wednesday, May 2, 2018

YANGA SC: HABARI MPYA LEO JUMATANO YA MAY 02-2018

YANGA SC: HABARI MPYA LEO JUMATANO YA MAY 02-2018
Leo Jumatano ya May 02-2018, uongozi wa klabu ya Yanga umetoa taarifa ya mkutano utakaofanyika kesho Alhamisi ya May 03-2018
Mkutano huo na waandishi wa habari utafanyika Makao Makuu ya klabu ya hiyo jijini Dar es salaam, kuanzia saa 12:30 mchana.

No comments:

Post a Comment