Nicki Minaj kuachia wimbo mpya Ijumaa hii ‘Kissing Strangers’ - ALEX MWENDATZ

Breaking

Tuesday, April 11, 2017

Nicki Minaj kuachia wimbo mpya Ijumaa hii ‘Kissing Strangers’

Kissing Strangers ndio wimbo utakaofuata kutoka kwa Nicki Minaj.

Wimbo huo unatarajiwa kuachiwa Ijumaa hii ya April 14 kwa mujibu wa mtandao wa Instagram wa rapper huyo. “Roughed him up a lil bit on the set of the video. He’ll live  @joejonas  #KissingStrangers  4/14 @dnce,” ameandika Nicki kwenye mtandao huo.

Minaj anaachia wimbo huo baada ya mwezi uliopita kuachia nyimbo tatu kwa pamoja zikiwemo ‘ No Frauds’ pamoja na ‘Changed It’.

No comments:

Post a Comment