TETESI ZA USAJILI ULAYA 24.2.2017 (MAN UNITED,ARSENAL,CHELSEA,MAN CITY N.K) - ALEX MWENDATZ

Breaking

Friday, February 24, 2017

TETESI ZA USAJILI ULAYA 24.2.2017 (MAN UNITED,ARSENAL,CHELSEA,MAN CITY N.K)

  • ....Eden Hazard amekuwa akifanya mazungumzo ya kisiri ili kujiunga na Real Madrid ya Hispania majira ya kiangazi (The Sun Wameandika)
  • Image result for eden hazard
  • ........Atletico Madrid wamewaambia Manchester United kuwa bado wanamitaji Griezmann kwa msimu mmoja zaidi kabla ya kuwa tayari kumwachia, huku mbadala wa Griezmann akitajwa kuwa Alexandre Lacazette (Daily Telegraph)

  • ............Daily Mirror wameandika kuwa Claudio Ranieri amefukuzwa mara baada ya wachezaji wakubwa wa timu hiyo kulalamika kwenye Uongozi wa juu wa Timu hiyo 

  • Klabu ya Everton inajaribu kufanya ushawishi wa kumrejesha Wayne Rooney Goodison Park, Rooney alitokea Everton kabla ya kujiunga na United (Daily Mirror)

  • Mlinzi wa Arsenal Hector Bellerin amesema atakuwa tayari kurejea Barcelona kama kocha Arsene Wenger ataiacha Arsenal kama kocha (Mundo Deportivo)

  • Roberto Mancini ambaye amewahi kuifundisha Manchester City  ni jina la kocha linalotajwa zaidi kumrithi Claudio Ranieri ndani ya Leicester City  (Daily Telegraph )

  • Daily Mail limeweka wazi kuwa Manchester City wanajipanga kumsajili Dani Alves tokea Juventus majira ya kiangazi 

  • Chelsea ya England wanajaribu kufanya mazungumzo ya kumsaini winga Jonathan Biabiany tokea Inter Milan ya Italia ( Wameandika Daily Telegraph)

No comments:

Post a Comment