MESSI AFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA BARCELONA - ALEX MWENDATZ

Breaking

Monday, February 20, 2017

MESSI AFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA BARCELONA

Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71

 

No comments:

Post a Comment