Yanga ambao kwasasa wanafanya maandalizi yao kabla ya kumenyana na Simba
February 25 katika uwanja wa Taifa, Yanga wapo Kimbiji wakiwa wameweka
Kambi Huko.
Sasa KwataUnit.com Tumepata taarifa kutoka chanzo chetu cha habari kuwa Yanga jana wamefanya mazoezi katika jua kali huku kocha wa Yanga akilenga kuwafanya wachezaji kuwa na Pumzi na Kuzoea kucheza katika mazingira ya jua.
Wachezaji wa Yanga walionekana wakifanya mazoezi kwa kujituma pasipo
kuchoka, huku wakipewa mbinu mbalimbali na kocha wao Mzambia George
Lwandamina ambaye kwa mara ya Kwanza atakaa benchi kama kocha wa Yanga
kwenye mechi ya watani wa Jadi.
Wednesday, February 22, 2017
New
MAZOEZI HAYA YA YANGA KWA AJIRI YA KUMUUWA MTANI SI ZANACO ETI
About SPORTS ROOM
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment