TETESI ZA USAJILI ULAYA 22.2.2017 - ALEX MWENDATZ

Breaking

Wednesday, February 22, 2017

TETESI ZA USAJILI ULAYA 22.2.2017







  • Real Madrid wanajipanga kuingia katika ushindani wa kumnasa Mjerumani Julian Brandit ambaye Liverpool wameonyesha nia ua kumwitaji,Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ameonyesha wazi Kumwitaji mchezaji huyo (Mirror)
  • Kufuatia Manchester United kumwitaji Victor Lindelof hali hii imeandikwa na The Sun la Uingereza kuwa huenda Daley Blind akasepa Manchester United.
  • Deal la Wayne Rooney kutimkia zake China huenda likawa mwishoni kukamilika mara baada ya baadhi ya timu kuthibitisha kufanya naye mazungumzo ya mwisho mwisho na huenda hii ikawa wiki ya mwisho kwa Rooney kama mchezaji wa Manchester United, Timu hasa inayotajwa kumwitaji Rooney ni Tianjin Quanjian

No comments:

Post a Comment