SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA AGNESS MASOGANGE : MAHAKAMA IMEAMUA HIVI.. - ALEX MWENDATZ

Breaking

Wednesday, February 22, 2017

SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA AGNESS MASOGANGE : MAHAKAMA IMEAMUA HIVI..

MREMBO AGNESS MASOGANGE AMEACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA KUMPA MASHARTI HAYA


Mrembo huyo ambaye ni maarufu kwa kupamba video za muziki wa wasanii wa bongo fleva, amekana tuhuma hizo na kesi yake kuahirishwa hadi Machi 2i mwaka huu.
 
Mara baada ya kusomewa mashtaka yake, ameachiwa kwa dhamana ya wadhamini wawili pamoja na kusaini bondi ya shilingi milioni 10.
Pia mrembo huyo ambaye amewahi kukamatwa nchini Afrika Kusini akihusishwa na usafirishaji wa dawa za kulevya, ametakiwa kutotoka nje ya Dar es Salaam kwa kipindi chote cha kesi bila kibali cha mahakama.

No comments:

Post a Comment