Taarifa kutoka mkoani Singida ni kwamba
AMEREJEA: Mchezaji wetu Dany Usengimana amerejea kikosini hii leo akiwa ameungana na wenzake jijini DSM tayari kwa mchezo dhidi ya Yanga Jumatano hii.
Dany Usengimana alikuwa nje ya kikosi baada ya kuruhusiwa kwenda kwao(Rwanda) kushughulikia matatizo ya kifamilia.
Dany Usengimana alikuwa nje ya kikosi baada ya kuruhusiwa kwenda kwao(Rwanda) kushughulikia matatizo ya kifamilia.
@danny_usengimana welcome back
No comments:
Post a Comment