New
- Manchester City wanaimani watawakalisha majirani zao Man United katika Ushindani wa kumsaini Benjamin Mendy wa Monaco, City tayari washaanza cheche baada ya kumsaini Bernado Silva (Daily Express)
- West Ham wako mbioni kumsaini Kipa wa Sunderland Jordan Pickford kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 25 (The Sun)
- West Ham pia wako njiani kumsaini Kelechi Iheanacho wa Man City (Daily Mirror)
- Manchester United ndiyo wameonekana kweli wako tayari kumnasa Mkoratia Ivan Perisic kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 36 (The Sun)
- Baada ya Chelsea kumsikia Diego Costa hana mpango wa kwenda China basi wamejipanga kwaajili ya kufanya naye mazungumzo ili kumbakiza mchezaji huyo (Daily Telegraph)
No comments:
Post a Comment