Beki Pablo Zabaleta akiwa amerushwa juu na wachezaji wenzake baada ya kuichezea Manchester City mechi ya mwisho Uwanja wa Etihad usiku wa Jumanne akihitimisha miaka yake tisa ya mafanikio kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya West Bromwich Albion. Mabao ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 27, Kevin De Bruyne dakika ya 29 na Yaya Toure dakika ya 57, wakati la WBA limefungwa na Hal Robson-Kanu
Tuesday, May 16, 2017
New
BEKI WA MAN CITY AAGA KWA USHINDI
Beki Pablo Zabaleta akiwa amerushwa juu na wachezaji wenzake baada ya kuichezea Manchester City mechi ya mwisho Uwanja wa Etihad usiku wa Jumanne akihitimisha miaka yake tisa ya mafanikio kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya West Bromwich Albion. Mabao ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 27, Kevin De Bruyne dakika ya 29 na Yaya Toure dakika ya 57, wakati la WBA limefungwa na Hal Robson-Kanu
About SPORTS ROOM
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment