Bondia Amos Mwamakula a.k.a Super Kyela wa hapa Tanzania anatarajia kupanda uringoni kukipiga na Mmalawi kuwania kanda wa UBO Intanational.
Mwakula anatarajiwa kupanda ulingoni ifikapo mwezi wa nane tarehe 8 mwaka huu kupambana na bondia Odson Kayuniwe kutoka nchini Malawi.
Pambano la Mwakula na Kayuniwa linatarajiwa kufanyia Dar es salaam katiaka eneo ya Travel Magomeni.
Amos Mwakula:
Kacheza mapambano 25
Kashinda mapambano 15
Kapoteza mapambano 8
Kacheza mapambano 25
Kashinda mapambano 15
Kapoteza mapambano 8
Odson Kayuniwa:
Kacheza mapambano 23
Kapoteza mapambano 7
Katoka suluu 2
Kacheza mapambano 23
Kapoteza mapambano 7
Katoka suluu 2
No comments:
Post a Comment