SIMBA YAKABWA KOO, YANGA KUUTUMIA MWANYA HUO KESHO? - ALEX MWENDATZ

Breaking

Saturday, March 4, 2017

SIMBA YAKABWA KOO, YANGA KUUTUMIA MWANYA HUO KESHO?

Image result for simba sc
Simba imelazimishwa sare hii leo katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam baaada ya kutoka kwa kufungana mabao 2-2. Kwa matokeo hayo Simba wanafikisha alama 55, nyuma ya watani wao Yanga wenye alama 52, wakiwa na kiporo cha mchezo mmoja ambao wataucheza siku ya kesho.

No comments:

Post a Comment