PENALTI YA IBRAHIMOVIC YAINYIMA USHINDI UNITED HII LEO - ALEX MWENDATZ

Breaking

Saturday, March 4, 2017

PENALTI YA IBRAHIMOVIC YAINYIMA USHINDI UNITED HII LEO

Baada ya hii leo kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 dhidi ya kikosi cha mwalimu Eddie Howe, fc bournamouth. Marcus Rojo alitangulia kuifungia united bao la kuongoza dakika ya 23, kabla ya Joshua King kutibua mipango katika dakika ya 40. dAKIKA YA 72 UNITED WALIPATA PENATI AMBAYO Ibrahimovic alikosa.
Image result for manchester united

No comments:

Post a Comment