RUVU VS YANGA KESHO : MASAU BWIRE KAMA KAWAIDA YAKE AFUNGUKA HAYA.. - ALEX MWENDATZ

Breaking

Tuesday, February 28, 2017

RUVU VS YANGA KESHO : MASAU BWIRE KAMA KAWAIDA YAKE AFUNGUKA HAYA..

Msemaji wa Ruvu Shooting mwenye maneno mengi sana kabla na baada ya mechi ametamba kuwa Yanga lazima wakae mechi ya Jumatano 1.3.2017.

Image result for MASAU BWIRE
Masau Bwire amesema Yanga wameshakufa wanachoenda kukifanya wao ni kufanya kazi ya Kijamii, wanaenda kuzika, Masau Bwire amesema kuelekea pambano hilo wachezaji wako vizuri sana wana Ari na Morali kubwa.

No comments:

Post a Comment