Hayo yote ni kutokana na timu yake kupoteza mchezo mchezo wa ugenini kwa kipigo cha goli 3-2 kutoka kwa Mwadui FC ya Shinyanga.
“Naomba wamuzi kidogo wawe fair kwa sababu tunapokuja sehemu kama hizi, tunatumia gharama nyungi na wao watonee huruma na sisi ni binadamu vilevile,” – Mohamed Kijuso.
“Inabidi tupambane na vijana wangu ili kuweza kutoka na pointi Kanda ya Ziwa.”
Magoli ya Mwadui FC yalifungwa na Hassan Kabunda aliyefunga mara mbili na goli jingine likafungwa na Paul Nonga wakati magoli yote mawili ya Mbeya City yakifungwa na Raphael Daudi.
No comments:
Post a Comment