Staa wa kimataifa wa ARgentina amepiga goli nne hii leo na kuiwezesha Inter Milan kushinda doli 5 kw sifuri dhidi ya Sampdoria
. Bao lingine limefungwa na Ivan Perisic..Inter wanashika nafasi ya 3 na alama 55waliocheza michezo 28 nyuma ya Lazio wenye alama 53 na michezo 27...22
No comments:
Post a Comment