Mtanzania MbwanaAlly Samatta amezidi kuwa mkavu ktika kutupia mabao baada ya jana kushindwa kufunga bao katika mchezo ambao Samatta alitokea benchi, akiingia katika dakika ya 66, kuchukua nafasi ya mfungaji wa bao la kwanza wa timu hiyo Leonandro Trossand, ambao Genk ilipata ushindi wa mabao3-0 dhidi ya Kortijki katika mchezo wa Play-off. mpaka sasa ameichezea klabu hiyo michezo 45 na kufunga mabao18. Mbwana ameshindwa kufunga katika mechi 6 zilizopita, za ligi kuu, robo fainali ya UROPE na ile ya play off...
Saturday, April 29, 2017
New
MTANZANIA AZIDI KUSOTA HUKO BARANI ULAYA
About SPORTS ROOM
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment