Nunda amesema " Mr Lwandamina tunamfahamu , tumefanya naye kazi tunajua falsafa yake, nafikiri hicho ndicho kinachotupa imani ya kupata ushindi, tunapoenda kukutana na Yanga nafikiri vitu hivyo havitaenda kubadilika sana kumuhusu Lwandamina "
Kocha wa Zanaco Mumamba Numba amesema Timu yake iko tayari kwaajili ya mechi dhidi ya Yanga jumamosi katika uwanja wa Taifa Jijini Dar Es Salaam.

Nunda amesema " Mr Lwandamina tunamfahamu , tumefanya naye kazi tunajua falsafa yake, nafikiri hicho ndicho kinachotupa imani ya kupata ushindi, tunapoenda kukutana na Yanga nafikiri vitu hivyo havitaenda kubadilika sana kumuhusu Lwandamina "
Nunda amesema " Mr Lwandamina tunamfahamu , tumefanya naye kazi tunajua falsafa yake, nafikiri hicho ndicho kinachotupa imani ya kupata ushindi, tunapoenda kukutana na Yanga nafikiri vitu hivyo havitaenda kubadilika sana kumuhusu Lwandamina "
No comments:
Post a Comment