Mshambuliaji
anayetakiwa na Manchester United, Antoine Griezmann akishangilia baada
ya kuifungia Atletico Madrid bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa
3-2 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja
wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania.
Mabao mengine ya
Atletico Madrid yalifungwa na Fernando Torres dakika ya 11 na Yannick
Carrasco dakika ya 86, wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Gustavo Cabral
dakika ya tano na John Guidetti dakika ya 78
Monday, February 13, 2017
New
GRIEZMANN 'WA MAN U' AIPA USHINDI ATLETICO MADRID
About SPORTS ROOM
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment