MANENO YAKO YANABOA 'ASEMA CONTE' - ALEX MWENDATZ

Breaking

Monday, February 13, 2017

MANENO YAKO YANABOA 'ASEMA CONTE'

Jose Mourinho and Antonio ConteJose Mourinho and Antonio ConteJose Mourinho and Antonio ConteKocha wa Chelsea amesema kuwa muda mwingine huwa hapendi utani wa kocha wa man united, Jose Mourninho.
Jose Mourinho and Antonio Conte
Jose Mourinho and Antonio Conte
 Conte amedai kuwa mourinho alimwambia kuwa team yake itachukua tuu ubingwa licha ya wikendi hii kudroo na Bernley katika uwanja wa taff more huku Man united wakishinda 2-0 vdhidi ya Watford.
Conte amesema hizo ni kejeri katika soka na anasahau kuwa tunaongoza kwa alama 10 nyuma ya Tottenham.

No comments:

Post a Comment